Na kwa wale waliokuwa wanauliza maswali juu yao, Faiza amewajibu hivi: "Ni kweli kuna wakati tulikuwa hatuelewani kabisa na wala hatukuwa tunaonana lakini kwa sasa tofauti zetu zimeisha hatuna ugomvi japo hatuko pamoja"
Faiza akiwa na Mhe. Sugu enzi hizo.
"Lakini mwisho wa siku huyo ndiyo baba Sasha na mzazi siku zote
atakuwa mzazi tu, haijalishi tuna tofauti kiasi gani" Alimalizia
kuandika msanii huyo asiyeishiwa vituko.Baada ya kuwek picha hiyo wengi wa mashabiki wa Faiza walimpongeza kwa hatua hiyo huku wengine wakiwataka warudiane ili walee mtoto pamoja.
Baadhi ya comments za mashabiki wa Faiza Ally.
0 comments:
Post a Comment